Nahodha wa Manchester City, Vincent Kompany akiwa ameinua Kombe la FA baada ya ushindi wa 6-0 dhidi ya Watford leo mabao ya Raheem Sterling matatu dakika za 38, 81 na 87, David Silva dakika ya 26, Kevin De Bruyne dakika ya 61 na Gabriel Jesus dakika ya 68 kwenye mchezo wa fainali Uwanja wa Wembley mjini London hilo likiwa taji la tatu msimu huu baada ya ubingwa wa Ligi Kuu England na Kombe la Ligi PICHA ZAIDI GONGA HAPA
Weaver says losing is weighing on Mets, who find season suffocating after
17th loss in 20 games
-
Luke Weaver thinks losing is weighing on the Mets and New York is being
suffocated by its poor play. Weaver gave up a go-ahead, two-run homer to CJ
Abrams ...
1 minute ago



.png)
0 comments:
Post a Comment