Nahodha wa Manchester City, Vincent Kompany akiwa ameinua Kombe la FA baada ya ushindi wa 6-0 dhidi ya Watford leo mabao ya Raheem Sterling matatu dakika za 38, 81 na 87, David Silva dakika ya 26, Kevin De Bruyne dakika ya 61 na Gabriel Jesus dakika ya 68 kwenye mchezo wa fainali Uwanja wa Wembley mjini London hilo likiwa taji la tatu msimu huu baada ya ubingwa wa Ligi Kuu England na Kombe la Ligi PICHA ZAIDI GONGA HAPA
MARTIN SAMUEL: Jake Daniels is a trailblazer, a man of vision and footballer of this year
-
CHIEF SPORTS WRITER: Jake Daniels could play for England, he could end up
in the reserves at Newport County. Wherever he goes, whatever he achieves,
howeve...
Dakika 27 zilizopita
0 maoni:
Chapisha Maoni