Man City inamaliza na pointi 98, moja zaidi ya Liverpool walioshika nafasi ya pili, wakati Chelsea imemaliza nafasi ya tatu na pointi zake 72, Tottenham Hotspur ya nne pointi 71, Arsenal ya tano pointi 70 na Manchester United ya sita pointi 66 PICHA ZAIDI GONGA HAPA
NI MAN CITY BINGWA TENA ENGLAND BAADA YA KUIPIGA BRIGHTON 4-1
Man City inamaliza na pointi 98, moja zaidi ya Liverpool walioshika nafasi ya pili, wakati Chelsea imemaliza nafasi ya tatu na pointi zake 72, Tottenham Hotspur ya nne pointi 71, Arsenal ya tano pointi 70 na Manchester United ya sita pointi 66 PICHA ZAIDI GONGA HAPA
0 comments:
Post a Comment