• HABARI MPYA

    Monday, May 20, 2019

    REAL WALIVYOMUAGA ANDRES AVELINO JUNQUERA WAKIPIGWA 2-0

    Wachezaji wa Real Madrid wakiwa kimya kwa dakika moja kutoa heshima zao za mwisho kwa kipa wa zamani wa klabu hiyo, Andres Avelino Junquera aliyefariki dunia Mei 6. Hiyo ilikuwa ni kabla ya mchezo wao wa mwisho wa La Liga jana Uwanja wa Bernabeu wakifungwa 2-0 na Real Betis, mabao ya Loren Moron na Jese 
       
    • Blogger Comments
    • Facebook Comments

    0 comments:

    Item Reviewed: REAL WALIVYOMUAGA ANDRES AVELINO JUNQUERA WAKIPIGWA 2-0 Rating: 5 Reviewed By: Mahmoud Bin Zubeiry
    Scroll to Top