Wachezaji wa Real Madrid wakiwa kimya kwa dakika moja kutoa heshima zao za mwisho kwa kipa wa zamani wa klabu hiyo, Andres Avelino Junquera aliyefariki dunia Mei 6. Hiyo ilikuwa ni kabla ya mchezo wao wa mwisho wa La Liga jana Uwanja wa Bernabeu wakifungwa 2-0 na Real Betis, mabao ya Loren Moron na Jese PICHA ZAIDI GONGA HAPA
EPL: Bruno Fernandes rejects Man Utd’s contract offer
-
Manchester United captain Bruno Fernandes has rejected the club’s initial
proposal for a new contract, although negotiations remain ongoing and the
midfi...
3 minutes ago



.png)
0 comments:
Post a Comment