Wachezaji wa Aston Villa wakishangilia baada ya kuifunga 2-1 Derby County usiku wa jana Uwanja wa Wembley katika mechi ya fainali ya mchujo wa kupanda wa Ligi Kuu England. Mabao ya Villa inayorejea Ligi Kuu tangu ishuke mwaka 2016 yamefungwa na Anwar El Ghazi na John McGinn huku la Derby County likifungwa na Jack Marriott PICHA ZAIDI GONGA HAPA
EPL: Man United set to sign Carlos Baleba as new proposal prepared for
Brighton
-
Manchester United are reportedly closing in on the signing of Brighton
midfielder Carlos Baleba, with a new proposal expected to be submitted in
the comi...
4 minutes ago



.png)
0 comments:
Post a Comment