Wachezaji wa Aston Villa wakishangilia baada ya kuifunga 2-1 Derby County usiku wa jana Uwanja wa Wembley katika mechi ya fainali ya mchujo wa kupanda wa Ligi Kuu England. Mabao ya Villa inayorejea Ligi Kuu tangu ishuke mwaka 2016 yamefungwa na Anwar El Ghazi na John McGinn huku la Derby County likifungwa na Jack Marriott PICHA ZAIDI GONGA HAPA
Impressive Everton win to hit Liverpool title hopes
-
Everton take a giant step towards safety and deliver a huge blow to
Liverpool's title aspirations with a thoroughly deserved victory.
12 minutes ago
0 comments:
Post a Comment