Wachezaji wa Aston Villa wakishangilia baada ya kuifunga 2-1 Derby County usiku wa jana Uwanja wa Wembley katika mechi ya fainali ya mchujo wa kupanda wa Ligi Kuu England. Mabao ya Villa inayorejea Ligi Kuu tangu ishuke mwaka 2016 yamefungwa na Anwar El Ghazi na John McGinn huku la Derby County likifungwa na Jack Marriott PICHA ZAIDI GONGA HAPA
Nigeria, China to hold political consultation meeting
-
Nigeria and China will hold a political consultation meeting in July 2026
as both nations deepen strategic cooperation and bilateral ties.
The post Niger...
1 minute ago



.png)
0 comments:
Post a Comment