Wachezaji wa Aston Villa wakishangilia baada ya kuifunga 2-1 Derby County usiku wa jana Uwanja wa Wembley katika mechi ya fainali ya mchujo wa kupanda wa Ligi Kuu England. Mabao ya Villa inayorejea Ligi Kuu tangu ishuke mwaka 2016 yamefungwa na Anwar El Ghazi na John McGinn huku la Derby County likifungwa na Jack Marriott PICHA ZAIDI GONGA HAPA
Natasha celebrates fathers on Father’s Day 2026
-
Natasha Akpoti-Uduaghan celebrates fathers on Father's Day 2026, praising
their sacrifices, leadership and role in nation-building.
The post Natasha cele...
7 minutes ago



.png)
0 comments:
Post a Comment