Wachezaji wa Aston Villa wakishangilia baada ya kuifunga 2-1 Derby County usiku wa jana Uwanja wa Wembley katika mechi ya fainali ya mchujo wa kupanda wa Ligi Kuu England. Mabao ya Villa inayorejea Ligi Kuu tangu ishuke mwaka 2016 yamefungwa na Anwar El Ghazi na John McGinn huku la Derby County likifungwa na Jack Marriott PICHA ZAIDI GONGA HAPA
Weaver says losing is weighing on Mets, who find season suffocating after
17th loss in 20 games
-
Luke Weaver thinks losing is weighing on the Mets and New York is being
suffocated by its poor play. Weaver gave up a go-ahead, two-run homer to CJ
Abrams ...
2 minutes ago



.png)
0 comments:
Post a Comment