Wachezaji wa Aston Villa wakishangilia baada ya kuifunga 2-1 Derby County usiku wa jana Uwanja wa Wembley katika mechi ya fainali ya mchujo wa kupanda wa Ligi Kuu England. Mabao ya Villa inayorejea Ligi Kuu tangu ishuke mwaka 2016 yamefungwa na Anwar El Ghazi na John McGinn huku la Derby County likifungwa na Jack Marriott PICHA ZAIDI GONGA HAPA
Jake Daniels: Gary Lineker says forward will be 'massively accepted' after coming out
-
Gary Lineker expects other footballers to follow Jake Daniels in coming
out, while others point to a landmark announcement for football.
Dakika 26 zilizopita
0 maoni:
Chapisha Maoni