Kiungo Mfaransa wa Manchester United, Paul Pogba akirejea katikati kinyonge baada ya Cardiff City kupata bao la pili katika ushindi wa 2-0, mabao yote akifunga Nathaniel Mendez-Laing dakika za 23 kwa penalti na 54 kwenye mchezo wa mwisho wa Ligi Kuu ya England Uwanja wa Old Trafford. Pamoja na ushindi huo, Cardiff City imeungana na Fulham na Huddersfield Town kushuka daraja, huku Man United ikimaliza nafasi ya sita na pointi zake 66 PICHA ZAIDI GONGA HAPA
EPL: Man United set to sign Carlos Baleba as new proposal prepared for
Brighton
-
Manchester United are reportedly closing in on the signing of Brighton
midfielder Carlos Baleba, with a new proposal expected to be submitted in
the comi...
3 minutes ago



.png)
0 comments:
Post a Comment