Kiungo Mfaransa wa Manchester United, Paul Pogba akirejea katikati kinyonge baada ya Cardiff City kupata bao la pili katika ushindi wa 2-0, mabao yote akifunga Nathaniel Mendez-Laing dakika za 23 kwa penalti na 54 kwenye mchezo wa mwisho wa Ligi Kuu ya England Uwanja wa Old Trafford. Pamoja na ushindi huo, Cardiff City imeungana na Fulham na Huddersfield Town kushuka daraja, huku Man United ikimaliza nafasi ya sita na pointi zake 66 PICHA ZAIDI GONGA HAPA
Weaver says losing is weighing on Mets, who find season suffocating after
17th loss in 20 games
-
Luke Weaver thinks losing is weighing on the Mets and New York is being
suffocated by its poor play. Weaver gave up a go-ahead, two-run homer to CJ
Abrams ...
1 minute ago



.png)
0 comments:
Post a Comment