Wachezaji wa Chelsea wakimpongeza mwenzao, Olivier Giroud baada ya kufunga bao la kwanza dakika ya 49 katika ushindi wa 4-1 dhidi ya timu yake ya zamani, Arsenal usiku wa Jumatano kwenye fainali ya UEFA Europa League Uwanja wa Bakı Olimpiya mjini Baku, Azerbaijan. Mabao mengine ya Chelsea yamefungwa na Pedro dakika ya 60 na Edin Hazard mawili, dakika yaa 65 kwa penalti na 72, wakati la Arsenal limefungwa na Alex Iwobi dakika ya 69 PICHA ZAIDI GONGA HAPA
New Zealand Warriors star's courageous act of sacrifice to produce NRL
moment for the ages
-
Roger Tuivasa-Sheck is in the twilight of his footy career - but the
veteran turned back the clock on Friday with an inspiring play his Warriors
teammates ...
27 minutes ago
0 comments:
Post a Comment