Nahodha wa Valencia, Dani Parejo akiinua Kombe la Mfalme baada ya kukabidhiwa kufuatia ushindi wa 2-1 dhidi ya Barcelona usiku wa jana katika mchezo wa fainali Uwanja wa Benito Villamarin mjini Sevilla. Mabao ya Valencia yalifungwa na Kevin Gameiro dakika ya 21 na Rodrigo dakika ya 33 kabla ya Lionel Messi kuifungia Barcelona bao lake pekee dakika ya 73 PICHA ZAIDI GONGA HAPA
Gary Lineker aims another dig at BBC over 'Work from Home' World Cup as he
talks up his own £14m Netflix show - and names the one famous name who
WON'T be appearing alongside him
-
Gary Lineker has taken a swipe at the BBC's coverage of the World Cup this
summer, expressing relief that he won't be 'working from a green box in
Salford'.
4 minutes ago



.png)
0 comments:
Post a Comment