Nahodha wa Valencia, Dani Parejo akiinua Kombe la Mfalme baada ya kukabidhiwa kufuatia ushindi wa 2-1 dhidi ya Barcelona usiku wa jana katika mchezo wa fainali Uwanja wa Benito Villamarin mjini Sevilla. Mabao ya Valencia yalifungwa na Kevin Gameiro dakika ya 21 na Rodrigo dakika ya 33 kabla ya Lionel Messi kuifungia Barcelona bao lake pekee dakika ya 73 PICHA ZAIDI GONGA HAPA
Anthony Joshua may NEVER fight again, admits Eddie Hearn - as promoter
gives update on boxer's condition after crash that killed two of his best
friends
-
Joshua narrowly avoided death after changing seats before the vehicle set
off on its journey. He spent New Year in hospital before jetting home to
his mans...
2 hours ago



.png)
0 comments:
Post a Comment