Nahodha wa Valencia, Dani Parejo akiinua Kombe la Mfalme baada ya kukabidhiwa kufuatia ushindi wa 2-1 dhidi ya Barcelona usiku wa jana katika mchezo wa fainali Uwanja wa Benito Villamarin mjini Sevilla. Mabao ya Valencia yalifungwa na Kevin Gameiro dakika ya 21 na Rodrigo dakika ya 33 kabla ya Lionel Messi kuifungia Barcelona bao lake pekee dakika ya 73 PICHA ZAIDI GONGA HAPA
MARTIN SAMUEL: Jake Daniels is a trailblazer, a man of vision and footballer of this year
-
CHIEF SPORTS WRITER: Jake Daniels could play for England, he could end up
in the reserves at Newport County. Wherever he goes, whatever he achieves,
howeve...
Dakika 19 zilizopita
0 maoni:
Chapisha Maoni