Nahodha wa Valencia, Dani Parejo akiinua Kombe la Mfalme baada ya kukabidhiwa kufuatia ushindi wa 2-1 dhidi ya Barcelona usiku wa jana katika mchezo wa fainali Uwanja wa Benito Villamarin mjini Sevilla. Mabao ya Valencia yalifungwa na Kevin Gameiro dakika ya 21 na Rodrigo dakika ya 33 kabla ya Lionel Messi kuifungia Barcelona bao lake pekee dakika ya 73 PICHA ZAIDI GONGA HAPA
APC chieftain predicts Ekiti-style victory in Osun on Aug. 15
-
APC chieftain Olatunbosun Oyintiloye says the party will replicate its
Ekiti governorship election victory in Osun on August 15.
The post APC chieftain p...
2 minutes ago



.png)
0 comments:
Post a Comment