Nahodha wa Valencia, Dani Parejo akiinua Kombe la Mfalme baada ya kukabidhiwa kufuatia ushindi wa 2-1 dhidi ya Barcelona usiku wa jana katika mchezo wa fainali Uwanja wa Benito Villamarin mjini Sevilla. Mabao ya Valencia yalifungwa na Kevin Gameiro dakika ya 21 na Rodrigo dakika ya 33 kabla ya Lionel Messi kuifungia Barcelona bao lake pekee dakika ya 73 PICHA ZAIDI GONGA HAPA
Agyemang-Badu certain Ghana will qualify for 2026 World Cup
-
Former Ghana international, Emmanuel Agyemang-Badu, has expressed optimism
about Black Stars' chances of qualifying for the 2026 World Cup.Ghana
revived th...
14 minutes ago
0 comments:
Post a Comment