Mshambuliaji Cristiano Ronaldo akishangilia baada ya kuifungia bao la kusawazisha Juventus dakika ya 84 ikitoa sare ya 1-1 na Torino ambayo ilitangulia kwa bao la Sasa Lukic dakika ya 18 katika mchezo wa Serie A usiku wa jana Uwanja wa Allianz mjini Torino. Juventus tayari wamejihakikishai ubingwa wa Italia, wakati Torino wanapanda nafasi ya sita kwa sare hiyo huku Ronaldo akifunga bao la 100 kwa kichwa na mchezaji huyo mwenye umri wa miaka 33 sasa ana jumla ya mabao 601 PICHA ZAIDI GONGA HAPA
Wolves chairman QUITS: Angry fans get their wish as Jeff Shi steps down
after weeks of protests, with Rob Edwards' side heading for the Championship
-
TOM COLLOMOSSE: Jeff Shi has stepped down as executive chairman of Wolves
after a chaotic period on and off the pitch.
1 hour ago



.png)
0 comments:
Post a Comment