Mshambuliaji Cristiano Ronaldo akishangilia baada ya kuifungia bao la kusawazisha Juventus dakika ya 84 ikitoa sare ya 1-1 na Torino ambayo ilitangulia kwa bao la Sasa Lukic dakika ya 18 katika mchezo wa Serie A usiku wa jana Uwanja wa Allianz mjini Torino. Juventus tayari wamejihakikishai ubingwa wa Italia, wakati Torino wanapanda nafasi ya sita kwa sare hiyo huku Ronaldo akifunga bao la 100 kwa kichwa na mchezaji huyo mwenye umri wa miaka 33 sasa ana jumla ya mabao 601 PICHA ZAIDI GONGA HAPA
Eddie Howe outlines challenge for his Newcastle players after Champions
League draw with Barcelona
-
Eddie Howe urged his Newcastle side to replicate the levels of their
performance against Barcelona on a more consistent basis.Newcastle led
through Harvey ...
5 minutes ago



.png)
0 comments:
Post a Comment