Washambuliaji Raheem Sterling na Sergio Aguero wakimpongeza beki na Nahodha wao, Vincent Kompany baada ya kuifungia bao pekee Manchester City dakika ya 70 ikiilaza 1-0 Leicester City kwenye mchezo wa Ligi Kuu ya England usiku huu Uwanja wa Etihad. Kwa ushindi huo, Man City inafikisha pointi 95 baada ya kucheza mechi 37 na kurejea tena kileleni mwa Ligi Kuu ikiizidi pointi moja Liverpool PICHA ZAIDI GONGA HAPA
49ers' Brandon Aiyuk Praised 'Fire' Ricky Pearsall Pick to GM amid NFL
Trade Rumors
-
San Francisco 49ers wide receiver Brandon Aiyuk fully endorsed the team's
decision to take another wideout to open its 2024 NFL draft account. The
Niners…
20 minutes ago
0 comments:
Post a Comment