Wachezaji wa Liverpool, beki Virgil van Dijk na mshambuliaji Sadio Mane (kulia) walipowasili Liverpool leo kutoka Barcelona ambako jana walifungwa 3-0 na wenyeji Uwanja wa Camp Nou katika mchezo wa kwanza wa Nusu Fainali ya Ligi ya Mabingwa Ulaya. Timu hizo zitarudiana Jumanne ijayo Uwanja wa Anfield PICHA ZAIDI GONGA HAPA
'It's a question I shouldn't answer': Jose Mourinho delivers verdict on
Ruben Amorim and his future - after in-demand Sporting Lisbon boss
apologised for holding talks with Premier League clubs
-
The 39-year-old has been in talks to take over at both Liverpool and West
Ham. Last week, it appeared the Sporting boss had flown to London to sit
down for...
24 minutes ago
0 comments:
Post a Comment