Wachezaji wa Liverpool, beki Virgil van Dijk na mshambuliaji Sadio Mane (kulia) walipowasili Liverpool leo kutoka Barcelona ambako jana walifungwa 3-0 na wenyeji Uwanja wa Camp Nou katika mchezo wa kwanza wa Nusu Fainali ya Ligi ya Mabingwa Ulaya. Timu hizo zitarudiana Jumanne ijayo Uwanja wa Anfield PICHA ZAIDI GONGA HAPA
Park cricketer's gruelling day with bat in hand to raise funds for Beyond
Blue
-
A local Victorian cricketer has turned heads after batting for 12 hours
straight to raise money for mental health charity Beyond Blue.
1 hour ago



.png)
0 comments:
Post a Comment