Wachezaji wa Liverpool, beki Virgil van Dijk na mshambuliaji Sadio Mane (kulia) walipowasili Liverpool leo kutoka Barcelona ambako jana walifungwa 3-0 na wenyeji Uwanja wa Camp Nou katika mchezo wa kwanza wa Nusu Fainali ya Ligi ya Mabingwa Ulaya. Timu hizo zitarudiana Jumanne ijayo Uwanja wa Anfield PICHA ZAIDI GONGA HAPA
EFCC arraigns man, company over alleged N7.8m car deal fraud in Ibadan
-
The Ibadan Zonal Directorate of the Economic and Financial Crimes
Commission (EFCC) has arraigned a man, Adeoye Gabriel Adewale, and his
company, De Luka...
7 minutes ago



.png)
0 comments:
Post a Comment