Mshambuliaji Mfaransa, Alexandre Lacazette akishangilia baada ya kuifungia Arsenal mabao mawili dakika za 18 na 25 katika ushindi wa 3-1 dhidi ya Valencia kwenye mchezo wa kwanza wa Nusu Fainali ya UEFA Europa League usiku wa jana Uwanja wa Emirates mjini London. Bao la tatu la Arsenal lilifungwa na Pierre-Emerick Aubameyang dakika ya 90, wakati la Valencia lilifungwa na Mouctar Diakhaby dakika ya 11 na timu hizo zitarudiana Mei 9 Uwanja wa Mestalla mjini Valencia na mshindi wa jumla atakutana na mshindi kati ya Chelsea na Eintracht Frankfurt kwenye fainali Mei 29 PICHA ZAIDI GONGA HAPA
Shaquille O'Neal kept 'going missing' says ex-wife Shaunie Henderson as she
details split from the NBA legend
-
In her new book, 'Undefeated: Changing the Rules and Winning on My Own
Terms,' the Basketball Wives creator narrated how she saw early signs of
her marriag...
9 minutes ago
0 comments:
Post a Comment