Mshambuliaji Mfaransa, Alexandre Lacazette akishangilia baada ya kuifungia Arsenal mabao mawili dakika za 18 na 25 katika ushindi wa 3-1 dhidi ya Valencia kwenye mchezo wa kwanza wa Nusu Fainali ya UEFA Europa League usiku wa jana Uwanja wa Emirates mjini London. Bao la tatu la Arsenal lilifungwa na Pierre-Emerick Aubameyang dakika ya 90, wakati la Valencia lilifungwa na Mouctar Diakhaby dakika ya 11 na timu hizo zitarudiana Mei 9 Uwanja wa Mestalla mjini Valencia na mshindi wa jumla atakutana na mshindi kati ya Chelsea na Eintracht Frankfurt kwenye fainali Mei 29 PICHA ZAIDI GONGA HAPA
Australian Grand Prix - Formula One: Live leaderboard and lap-by-lap
updates as Lando Norris starts on pole ahead of season curtain-raiser, with
Lewis Hamilton eighth
-
Follow Mail Sport's live blog for the latest leaderboard standings and
lap-by-lap updates in the 2025 Australian Grand Prix.
32 minutes ago
0 comments:
Post a Comment