Nyota wa Barcelona, Lionel Messi akisikitika baada ya kufungwa bao la pili na Valencia katika fainali ya Kombe la Mfalme usiku wa jana Uwanja wa Benito Villamarin mjini Sevilla. Valencia walishinda 2-1, mabao yao yakifungwa na Kevin Gameiro dakika ya 21 na Rodrigo dakika ya 33 kabla ya Messi kuifungia Barcelona bao pekee dakika ya 73 PICHA ZAIDI GONGA HAPA
APC chieftain predicts Ekiti-style victory in Osun on Aug. 15
-
APC chieftain Olatunbosun Oyintiloye says the party will replicate its
Ekiti governorship election victory in Osun on August 15.
The post APC chieftain p...
4 minutes ago



.png)
0 comments:
Post a Comment