Nyota wa Barcelona, Lionel Messi akisikitika baada ya kufungwa bao la pili na Valencia katika fainali ya Kombe la Mfalme usiku wa jana Uwanja wa Benito Villamarin mjini Sevilla. Valencia walishinda 2-1, mabao yao yakifungwa na Kevin Gameiro dakika ya 21 na Rodrigo dakika ya 33 kabla ya Messi kuifungia Barcelona bao pekee dakika ya 73 PICHA ZAIDI GONGA HAPA
Luka Dončić, Mavs Hyped By NBA Fans for Series-Tying Win vs. Kawhi Leonard,
Clippers
-
Home-court advantage belongs to the Dallas Mavericks. Luka Dončić led his
team to a 96-93 victory over the Los Angeles Clippers in Game 2 of their
first-ro...
1 hour ago
0 comments:
Post a Comment