Nyota wa Barcelona, Lionel Messi akisikitika baada ya kufungwa bao la pili na Valencia katika fainali ya Kombe la Mfalme usiku wa jana Uwanja wa Benito Villamarin mjini Sevilla. Valencia walishinda 2-1, mabao yao yakifungwa na Kevin Gameiro dakika ya 21 na Rodrigo dakika ya 33 kabla ya Messi kuifungia Barcelona bao pekee dakika ya 73 PICHA ZAIDI GONGA HAPA
Phil Gould walks off the set of Channel Nine show TWICE over huge issue
that has NRL coaches up in arms
-
Bulldogs supremo Phil Gould twice made his feelings well known about NRL
referees - without saying a word - on Monday night. The scenes unfolded on
Channel...
19 minutes ago
0 comments:
Post a Comment