Nyota wa Barcelona, Lionel Messi akisikitika baada ya kufungwa bao la pili na Valencia katika fainali ya Kombe la Mfalme usiku wa jana Uwanja wa Benito Villamarin mjini Sevilla. Valencia walishinda 2-1, mabao yao yakifungwa na Kevin Gameiro dakika ya 21 na Rodrigo dakika ya 33 kabla ya Messi kuifungia Barcelona bao pekee dakika ya 73 PICHA ZAIDI GONGA HAPA
Kano Government, Dangote Foundation sign MoU
-
The Kano State Government has signed a Memorandum of Understanding (MoU)
with the Aliko Dangote Foundation for the takeover and management of the
Aliko D...
9 minutes ago



.png)
0 comments:
Post a Comment