Nyota wa Barcelona, Lionel Messi akisikitika baada ya kufungwa bao la pili na Valencia katika fainali ya Kombe la Mfalme usiku wa jana Uwanja wa Benito Villamarin mjini Sevilla. Valencia walishinda 2-1, mabao yao yakifungwa na Kevin Gameiro dakika ya 21 na Rodrigo dakika ya 33 kabla ya Messi kuifungia Barcelona bao pekee dakika ya 73 PICHA ZAIDI GONGA HAPA
Natasha celebrates fathers on Father’s Day 2026
-
Natasha Akpoti-Uduaghan celebrates fathers on Father's Day 2026, praising
their sacrifices, leadership and role in nation-building.
The post Natasha cele...
5 minutes ago



.png)
0 comments:
Post a Comment