Nyota wa Barcelona, Lionel Messi akisikitika baada ya kufungwa bao la pili na Valencia katika fainali ya Kombe la Mfalme usiku wa jana Uwanja wa Benito Villamarin mjini Sevilla. Valencia walishinda 2-1, mabao yao yakifungwa na Kevin Gameiro dakika ya 21 na Rodrigo dakika ya 33 kabla ya Messi kuifungia Barcelona bao pekee dakika ya 73 PICHA ZAIDI GONGA HAPA
Jake Daniels: Gary Lineker says forward will be 'massively accepted' after coming out
-
Gary Lineker expects other footballers to follow Jake Daniels in coming
out, while others point to a landmark announcement for football.
Dakika 28 zilizopita
0 maoni:
Chapisha Maoni