Pedro akikimbia kushangilia baada ya kuifungia Chelsea bao muhimu la ugenini la kusawazisha dakika ya 45 kufuatia Luka Jovic kuifungia la kuongoza Eintracht Frankfurt dakika ya 23 timu hizo zikitoka sare ya 1-1 katika Nusu Fainali ya kwanza ya UEFA Europa League usiku wa jana Uwanja wa Commerzbank-Arena mjini Frankfurt. Timu hizo zitarudiana Mei 9, Chelsea ikihitaji ushindi au sare ya 0-0 kwenda fainali ambako itakutana na mshindi kati ya Arsenal na Valencia Mei 29 PICHA ZAIDI GONGA HAPA
Ryan Giggs responds to Premier League Hall of Fame snub as Man United
legend reveals what Ruben Amorim needs to deliver success
-
The former winger is a record 13-time Premier League winner - two more than
his former team-mate Paul Scholes. Giggs is also the competition's all-time
ass...
16 minutes ago



.png)
0 comments:
Post a Comment