Mshambuliaji wa kimataifa wa Tanzania, Mbwana Samatta akiwa na tuzo yake ya Mwasoka Bora wa Afrika katika Ligi ya Ubelgiji baada ya kukabidhiwa jana kufuatia sare ya 0-0 na Standard Liege kwenye mchezo wa mwisho wa msimu Uwanja wa Luminus Arena
Mbwana Samatta akipongezwa jana Uwanja wa Luminus Arena baada ya kupewa tuzo zake
Mbwana Samatta akishangilia Kombe la ubingwa wa Ubelgiji baada ya kukabidhiwa jana Uwanja wa Luminus Arena
Mbwana Samatta akishangilia Kombe la ubingwa wa Ubelgiji baada ya kukabidhiwa jana Uwanja wa Luminus Arena
Mbwana Samatta akishangilia na wachezaji wenzake wa KRC Genk baada ya kukabidhiwa Kombe la ubingwa wa Ubelgiji
Mbwana Samatta akipiga picha na rafiki yake Uwanja wa Luminus Arena
Anreiseinformationen für das U23-Heimspiel gegen Mannheim
-
Am Samstag um 14 Uhr trifft die U23 von Borussia Dortmund im Stadion Rote
Erde auf den SV Waldhof Mannheim. Aufgrund einer Baustelle auf der
Strobelallee i...
17 minutes ago
0 comments:
Post a Comment