MAREHEMU Ali Ferej Tamin (Kushoto) na aliyekuwa Waziri wa Habari, Utamaduni na Michezo Ali Juma Shamuhuna, walipotembelea Makao Makuu ya Shirikisho la Soka la Dunia (FIFA) jijini Zurich, Uswisi miaka kadhaa iliyopita wakiwa na Rais wa zamani wa shirikisho hilo Josep Blatter. Walikuwa wamepeleka ombi la kutaka Zanzibar ipewe uanachama wa FIFA ambalo lilikataliwa kwa madai kuwa visiwa hivyo havina mamlaka kamili.
Nigeria, China to hold political consultation meeting
-
Nigeria and China will hold a political consultation meeting in July 2026
as both nations deepen strategic cooperation and bilateral ties.
The post Niger...
2 minutes ago



.png)
0 comments:
Post a Comment