MAREHEMU Ali Ferej Tamin (Kushoto) na aliyekuwa Waziri wa Habari, Utamaduni na Michezo Ali Juma Shamuhuna, walipotembelea Makao Makuu ya Shirikisho la Soka la Dunia (FIFA) jijini Zurich, Uswisi miaka kadhaa iliyopita wakiwa na Rais wa zamani wa shirikisho hilo Josep Blatter. Walikuwa wamepeleka ombi la kutaka Zanzibar ipewe uanachama wa FIFA ambalo lilikataliwa kwa madai kuwa visiwa hivyo havina mamlaka kamili.
Natasha celebrates fathers on Father’s Day 2026
-
Natasha Akpoti-Uduaghan celebrates fathers on Father's Day 2026, praising
their sacrifices, leadership and role in nation-building.
The post Natasha cele...
8 minutes ago



.png)
0 comments:
Post a Comment