Mshambuliaji Mbrazil, Neymar akishangilia baada ya kuifungia Paris Saint-Germain bao la kwanza dakika ya 20 ikiilaza Angers 2-1 katika mchezo wa Ligue 1, Ufaransa Uwanja wa Raymond-Kopa mjini Angers. Bao la pili la PSG lilifungwa na Angel Di Maria dakika ya 58 wakati la Angers lilifungwa na Flavien Tait dakika ya 88 PICHA ZAIDI GONGA HAPA
APC chieftain predicts Ekiti-style victory in Osun on Aug. 15
-
APC chieftain Olatunbosun Oyintiloye says the party will replicate its
Ekiti governorship election victory in Osun on August 15.
The post APC chieftain p...
3 minutes ago



.png)
0 comments:
Post a Comment