Mshambuliaji Mbrazil, Neymar akishangilia baada ya kuifungia Paris Saint-Germain bao la kwanza dakika ya 20 ikiilaza Angers 2-1 katika mchezo wa Ligue 1, Ufaransa Uwanja wa Raymond-Kopa mjini Angers. Bao la pili la PSG lilifungwa na Angel Di Maria dakika ya 58 wakati la Angers lilifungwa na Flavien Tait dakika ya 88 PICHA ZAIDI GONGA HAPA
Natasha celebrates fathers on Father’s Day 2026
-
Natasha Akpoti-Uduaghan celebrates fathers on Father's Day 2026, praising
their sacrifices, leadership and role in nation-building.
The post Natasha cele...
4 minutes ago



.png)
0 comments:
Post a Comment