Mshambuliaji Mbrazil, Neymar akishangilia baada ya kuifungia Paris Saint-Germain bao la kwanza dakika ya 20 ikiilaza Angers 2-1 katika mchezo wa Ligue 1, Ufaransa Uwanja wa Raymond-Kopa mjini Angers. Bao la pili la PSG lilifungwa na Angel Di Maria dakika ya 58 wakati la Angers lilifungwa na Flavien Tait dakika ya 88 PICHA ZAIDI GONGA HAPA
JEFF POWELL: Arsenal's tainted title should be marked with an asterisk. No
wonder conspiracy theories about the establishment favouring clubs are
rife, given the outside help they've had
-
Rarely, if ever, in the history of the country which gave football to the
world, have its champions been given so much unseemly outside help.
12 minutes ago



.png)
0 comments:
Post a Comment