Mshambuliaji Mbrazil, Neymar akishangilia baada ya kuifungia Paris Saint-Germain bao la kwanza dakika ya 20 ikiilaza Angers 2-1 katika mchezo wa Ligue 1, Ufaransa Uwanja wa Raymond-Kopa mjini Angers. Bao la pili la PSG lilifungwa na Angel Di Maria dakika ya 58 wakati la Angers lilifungwa na Flavien Tait dakika ya 88 PICHA ZAIDI GONGA HAPA
🚨Newcastle 2-0 Arsenal: Gunners' Champions League hopes extinguished at St. James Park
-
Arsenal's hopes of featuring in the Champions League next season took a
major dent following a surprise 2-0 loss at Newcastle on Monday night. The
Gunners...
Dakika 3 zilizopita
0 maoni:
Chapisha Maoni