Mshambuliaji Mbrazil, Neymar akishangilia baada ya kuifungia Paris Saint-Germain bao la kwanza dakika ya 20 ikiilaza Angers 2-1 katika mchezo wa Ligue 1, Ufaransa Uwanja wa Raymond-Kopa mjini Angers. Bao la pili la PSG lilifungwa na Angel Di Maria dakika ya 58 wakati la Angers lilifungwa na Flavien Tait dakika ya 88 PICHA ZAIDI GONGA HAPA
Mahama, Obasanjo, Shettima to speak at GJF 2026 Democracy Dialogue in Bauchi
-
African leaders, eminent jurists and democracy advocates, including the
President of Ghana, John Dramani Mahama; Nigeria's Vice President, Senator
Kashim...
17 minutes ago



.png)
0 comments:
Post a Comment