Mshambuliaji Mbrazil, Neymar akishangilia baada ya kuifungia Paris Saint-Germain bao la kwanza dakika ya 20 ikiilaza Angers 2-1 katika mchezo wa Ligue 1, Ufaransa Uwanja wa Raymond-Kopa mjini Angers. Bao la pili la PSG lilifungwa na Angel Di Maria dakika ya 58 wakati la Angers lilifungwa na Flavien Tait dakika ya 88 PICHA ZAIDI GONGA HAPA
Premier League survival is Spurs' priority and Atletico tie can help - Tudor
-
Tottenham Hotspur will prioritise earning Premier League survival over
Champions League progress, says interim manager Igor Tudor.
1 hour ago



.png)
0 comments:
Post a Comment