• HABARI MPYA

    Sunday, May 12, 2019

    NEYMAR, DI MARIA WAFUNGA PSG YASHINDA 2-1 LIGI YA UFARANSA

    Mshambuliaji Mbrazil, Neymar akishangilia baada ya kuifungia Paris Saint-Germain bao la kwanza dakika ya 20 ikiilaza Angers 2-1 katika mchezo wa Ligue 1, Ufaransa Uwanja wa Raymond-Kopa mjini Angers. Bao la pili la PSG lilifungwa na Angel Di Maria dakika ya 58 wakati la Angers lilifungwa na Flavien Tait dakika ya 88 
    • Blogger Comments
    • Facebook Comments

    0 comments:

    Item Reviewed: NEYMAR, DI MARIA WAFUNGA PSG YASHINDA 2-1 LIGI YA UFARANSA Rating: 5 Reviewed By: Mahmoud Bin Zubeiry
    Scroll to Top