Nahodha Manuel Neuer akiwa ameinua Kombe la Ujerumani na wachezaji wenzake wa Bayern Munich baada ya kukabidhiwa kufuatia ushindi wa 3-0 dhidi ya RB Leipzig, mabao ya Robert Lewandowski dakika ya 29 na 85 na Kingsley Coman dakika ya 78 katika mchezo wa fainali usiku wa jana Uwanja wa Olympia mjini Berlin PICHA ZAIDI GONGA HAPA
APC chieftain predicts Ekiti-style victory in Osun on Aug. 15
-
APC chieftain Olatunbosun Oyintiloye says the party will replicate its
Ekiti governorship election victory in Osun on August 15.
The post APC chieftain p...
43 seconds ago



.png)
0 comments:
Post a Comment