Mshambuliaji Gonzalo Higuain anayecheza kwa mkopo kutoka Juventus akiruka juu kushangilia baada ya kuifungia Chelsea bao la tatu dakika ya 75 ikiilaza 3-0 Watford kwenye mchezo wa Ligi Kuu ya England leo Uwanja wa Stamford Bridge mjini London. Mabao mengine ya Chelsea yamefungwa na Ruben Loftus-Cheek dakika ya 48 na David Luiz dakika ya 51 na kwa ushindi huo The Blues inafikisha pointi 71 baada ya kucheza mechi 37 na kujihakikishia kumaliza ndani ya nafasi nne za juu hivyo kurejea kwenye Ligi ya Mabingwa Ulaya msimu ujao PICHA ZAIDI GONGA HAPA
Cheltenham Festival LIVE: Tips and results from Champions Day as Kopek Des
Bordes, Lossiemouth and The New Lion headline action-packed opening day
-
Follow Daily Mail Sport's live blog of day one at the 2026 Cheltenham
Festival as we bring you the latest tips, racecards and results from one of
the bigge...
56 minutes ago



.png)
0 comments:
Post a Comment