• HABARI MPYA

    Sunday, May 05, 2019

    CHELSEA YAFUZU LIGI YA MABINGWA BAADA YA KUIPIGA WATFORD 3-0

    Mshambuliaji Gonzalo Higuain anayecheza kwa mkopo kutoka Juventus akiruka juu kushangilia baada ya kuifungia Chelsea bao la tatu dakika ya 75 ikiilaza 3-0 Watford kwenye mchezo wa Ligi Kuu ya England leo Uwanja wa Stamford Bridge mjini London. Mabao mengine ya Chelsea yamefungwa na Ruben Loftus-Cheek dakika ya 48 na David Luiz dakika ya 51 na kwa ushindi huo The Blues inafikisha pointi 71 baada ya kucheza mechi 37 na kujihakikishia kumaliza ndani ya nafasi nne za juu hivyo kurejea kwenye Ligi ya Mabingwa Ulaya msimu ujao 
      
    • Blogger Comments
    • Facebook Comments

    0 comments:

    Item Reviewed: CHELSEA YAFUZU LIGI YA MABINGWA BAADA YA KUIPIGA WATFORD 3-0 Rating: 5 Reviewed By: Mahmoud Bin Zubeiry
    Scroll to Top