Bingwa wa dunia wa uzito wa juu duniani, Anthony Joshua (kushoto) akitazamana kimikwara na mpinzani wake, Andy Ruiz Jr (kulia) jana wakati wa mkutano na Waandishi wa Habari kuelekea pambano lao la Jumamosi ukumbi Madison Square Garden mjini New York, Marekani. Joshua mwenye urefu wa futi sita kwa sasa anashikilia mataji ya IBF, WBA na WBO akiwa na rekodi ya kushinda mapambano yake yote 22, 21 kwa knockout, wakati Ruiz mwenye urefu wa futi nne amepoteza pambano moja na kushinda 32, huku 21 akishinda kwa knockout pia. PICHA ZAIDI GONGA HAPA
Bill Belichick finally breaks silence on Jordon Hudson beach yoga photo
after dodging question in CBS interview
-
After dodging questions about a particular beach photo op with girlfriend
Jordon Hudson, North Carolina head coach Bill Belichick is talking about
the famo...
26 minutes ago
0 comments:
Post a Comment