Bingwa wa dunia wa uzito wa juu duniani, Anthony Joshua (kushoto) akitazamana kimikwara na mpinzani wake, Andy Ruiz Jr (kulia) jana wakati wa mkutano na Waandishi wa Habari kuelekea pambano lao la Jumamosi ukumbi Madison Square Garden mjini New York, Marekani. Joshua mwenye urefu wa futi sita kwa sasa anashikilia mataji ya IBF, WBA na WBO akiwa na rekodi ya kushinda mapambano yake yote 22, 21 kwa knockout, wakati Ruiz mwenye urefu wa futi nne amepoteza pambano moja na kushinda 32, huku 21 akishinda kwa knockout pia. PICHA ZAIDI GONGA HAPA
Weaver says losing is weighing on Mets, who find season suffocating after
17th loss in 20 games
-
Luke Weaver thinks losing is weighing on the Mets and New York is being
suffocated by its poor play. Weaver gave up a go-ahead, two-run homer to CJ
Abrams ...
2 minutes ago



.png)
0 comments:
Post a Comment