Mshambuliaji Glenn Murray akimfunga kwa mkwaju wa penalti kipa Mjerumani, Bernd Leno dakika ya 61 kuipatia Brighton & Hove Albion bao la kusawazisha katika sare ya 1-1 kufuatia Pierre-Emerick Aubameyang kuanza kuifungia Arsenal dakika ya tisa kwa penalti pia leo kwenye mchezo wa Ligi Kuu ya England Uwanja wa Emirates, London. Kwa matokeo hayo, Arsenal inafikisha pointi 67 baada ya kucheza mechi 37, ikibaki nafasi ya tano nyuma ya Tottenham Hotspur yenye pointi 70 na Chelsea pointi 71 baada ya wote kucheza mechi 37 pia PICHA ZAIDI GONGA HAPA
Lakers' LeBron James on Game 4 Win vs. Nuggets: 'We've Given Ourselves
Another Life'
-
LeBron James says the Los Angeles Lakers were granted "another life" by
winning Game 4 against the Denver Nuggets Saturday night. James scored 30
points to…
52 minutes ago
0 comments:
Post a Comment