Mshambuliaji wa kimataifa wa Gabon, Pierre-Emerick Aubameyang akifurahia baada ya kufunga hat trick kwa mabao yake ya dakika za 11, 69 na 88 ikiwalaza wenyeji, Valencia 4-2 Uwanja wa katika mchezo wa marudiano wa UEFA Europa League. Bao lingine la Arsenal lilifungwa na Alexandre Lacazette dakika ya 50 wakati ya Valencia yamefungwa na Kevin Gamiero yote dakika ya 11 na 58 na kwa matokeo hayo, The Gunners inakwenda fainali kwa ushindi wa jumla wa 7-3 baada ya kushinda 3-1 London na sasa itamenyana na Chelsea PICHA ZAIDI GONGA HAPA
Gary Lineker aims another dig at BBC over 'Work from Home' World Cup as he
talks up his own £14m Netflix show - and names the one famous name who
WON'T be appearing alongside him
-
Gary Lineker has taken a swipe at the BBC's coverage of the World Cup this
summer, expressing relief that he won't be 'working from a green box in
Salford'.
3 minutes ago



.png)
0 comments:
Post a Comment