Mshambuliaji wa kimataifa wa Gabon, Pierre-Emerick Aubameyang akifurahia baada ya kufunga hat trick kwa mabao yake ya dakika za 11, 69 na 88 ikiwalaza wenyeji, Valencia 4-2 Uwanja wa katika mchezo wa marudiano wa UEFA Europa League. Bao lingine la Arsenal lilifungwa na Alexandre Lacazette dakika ya 50 wakati ya Valencia yamefungwa na Kevin Gamiero yote dakika ya 11 na 58 na kwa matokeo hayo, The Gunners inakwenda fainali kwa ushindi wa jumla wa 7-3 baada ya kushinda 3-1 London na sasa itamenyana na Chelsea PICHA ZAIDI GONGA HAPA
U18s preview | Norwich City v Arsenal
-
Everything you need to know as our young Gunners make the trip to East
Anglia to face Norwich City
35 minutes ago
0 comments:
Post a Comment