Lionel Messi akiruka juu kushangilia baada ya kuifungia mabao mawili Barcelona dakika za 17 na 65 katika ushindi wa 4-0 dhidi ya wenyeji, Espanyol usiku wa jana Uwanja wa RCDE mjini Cornella de Llobregat katika mchezo wa La Liga. Mabao mengine yalifungwa na Ousmane Dembele dakika ya 26 na Luis Suarez dakika ya 45 PICHA ZAIDI GONGA HAPA
Man United's ENTIRE squad 'is up for sale' - with just THREE players named
as 'off limits' - and club will listen to offers for Marcus Rashford as
they face having to sell to make big signings
-
The club's new hierarchy, led by co-owner Sir Jim Ratcliffe and incoming
CEO Omar Berrada, are prepared to be brutal with potential outgoings at the
end of...
21 minutes ago
0 comments:
Post a Comment