Lionel Messi akiruka juu kushangilia baada ya kuifungia mabao mawili Barcelona dakika za 17 na 65 katika ushindi wa 4-0 dhidi ya wenyeji, Espanyol usiku wa jana Uwanja wa RCDE mjini Cornella de Llobregat katika mchezo wa La Liga. Mabao mengine yalifungwa na Ousmane Dembele dakika ya 26 na Luis Suarez dakika ya 45 PICHA ZAIDI GONGA HAPA
NAF intensifies air campaign in Sokoto to deter terrorist attacks
-
The Nigerian Air Force (NAF) said it has intensified its airpower campaign
against terrorism, banditry, kidnapping and other criminal activities
across t...
7 minutes ago



.png)
0 comments:
Post a Comment