Mshambuliaji wa kimataifa wa Algeria, Riyad Mahrez akishangilia baada ya kuifungia Manchester City bao la pili dakika ya 51 katika ushindi wa 2-1 dhidi ya wenyeji, Watford kwenye mchezo wa Ligi Kuu ya England Uwanja wa Vicarage. Bao la kwanza la Man City lilifungwa na Leroy Sane dakika ya 40, wakati bao la kufutia machozi la Watford lilifungwa na Abdoulaye Doucoure dakika ya 85 PICHA ZAIDI GONGA HAPA
Sex, drugs and potting balls: The wildest snooker hellraisers to grace The
Crucible - from the Ladies Man of Bolton who cavorted on the table with
Page 3 models to the star downing 24 pints BEFORE a game
-
Don't let the waistcoats and polished shoes fool you, the pristine world of
the baize is in complete contrast to the depravity explored by some of the
lege...
2 hours ago



.png)
0 comments:
Post a Comment