Mshambuliaji wa kimataifa wa Algeria, Riyad Mahrez akishangilia baada ya kuifungia Manchester City bao la pili dakika ya 51 katika ushindi wa 2-1 dhidi ya wenyeji, Watford kwenye mchezo wa Ligi Kuu ya England Uwanja wa Vicarage. Bao la kwanza la Man City lilifungwa na Leroy Sane dakika ya 40, wakati bao la kufutia machozi la Watford lilifungwa na Abdoulaye Doucoure dakika ya 85 PICHA ZAIDI GONGA HAPA
Chicago Bears Tight End Colston Loveland Set to Attend Tight End University
-
Chicago Bears tight end Colston Loveland is set to attend Tight End
University next week. Here is everything you need to know about the
three-day event.
7 minutes ago



.png)
0 comments:
Post a Comment