Nyota wa Juventus, Cristiano Ronaldo akitabasamu huku akiwaonyesha alama ya dole gumba mashabiki baada ya mchezo wa mchezo wa Serie A dhidi ya mahasimu wao wa Italia, Inter Milan usiku wa jana Uwanja wa Allianz mjini Turin. Juventus ilishinda 1-0, bao pekee la mshambauliaji wa kimataifa wa Croatia, Mario Mandzukic dakika ya 66 na sasa inaongoza Serie A kwa pointi 11 zaidi ya Napoli wanaofuatia nafasi ya pili, ikifikisha mechi 15 za kucheza bila kupoteza — ikishinda 14 na sare moja PICHA ZAIDI GONGA HAPA
Footy heartthrob Isaac Quaynor reveals new romance after keeping it a
secret for months
-
The Collingwood star's status as one of the most eligible bachelors in the
AFL has come to an end.
28 minutes ago



.png)
0 comments:
Post a Comment