Nyota wa Juventus, Cristiano Ronaldo akitabasamu huku akiwaonyesha alama ya dole gumba mashabiki baada ya mchezo wa mchezo wa Serie A dhidi ya mahasimu wao wa Italia, Inter Milan usiku wa jana Uwanja wa Allianz mjini Turin. Juventus ilishinda 1-0, bao pekee la mshambauliaji wa kimataifa wa Croatia, Mario Mandzukic dakika ya 66 na sasa inaongoza Serie A kwa pointi 11 zaidi ya Napoli wanaofuatia nafasi ya pili, ikifikisha mechi 15 za kucheza bila kupoteza — ikishinda 14 na sare moja PICHA ZAIDI GONGA HAPA
Model Grace Boor lifts the lid on her Miami trip with Ryan Garcia,
admitting she could be open to dating the boxer and he's nothing like his
social media persona: 'It was just an instant click'
-
Model Grace Boor has lifted the lid on her Miami trip with Ryan Garcia,
admitting he's nothing like his social media persona and revealing she
could be ope...
39 minutes ago
0 comments:
Post a Comment