Marco Asensio (kulia) akishangilia baada ya kuifungia Real Madrid mabao mawili dakika za 33 na 35 ikishinda 6-1 dhidi ya Melilla katika mchezo wa marudiano hatua ya 16 Bora Kombe la Mfalme Hispania usiku wa jana Uwanja wa Bernabeu. Mabao mengine yalifungwa na Javier Sanchez dakika ya 39, Isco mawili pia dakika za 47 na 83 na Vinicius Junior dakika ya 75, wakati la Melilla lilifungwa na Yacine Qasmi kwa penalti dakika ya 81 na Real Madrid inasonga mbele kwa ushindi wa jumla wa 10-1 baada ya kushinda 4-0 kwenye mchezo wa kwanza ugenini PICHA ZAIDI GONGA HAPA
Air freight rates soar as Middle East conflict blocks trade routes
-
March 13 (Reuters) - Air freight rates have risen by as much as 70% on some
routes since the start of the U.S.-Israeli war on Iran, data shows, as the
conf...
21 minutes ago



.png)
0 comments:
Post a Comment