Mshambuliaji wa Tanzania, Mbaraka Yusuph akimiliki mpira mbele ya beki wa Libya, Aljamal Tariq wa Kundi A Kombe la CECAFA Chalenge jana Uwanja wa Kenyatta mjini Machakos, Kenya timu hizo zikitioka sare ya 0-0
Mshambuliaji wa Tanzania, Elias Maguli akipambana na beki wa Libya, Maetoyq Saed jana
Nahodha wa Kilimanjaro Stars jana, Erasto Nyoni akiondoka na mpira kujaribu kuwapita wachezaji wa Libya
Wachezaji wa Tanzania na Libya kabla ya mchezo wa jana Uwanja wa Kenyatta
NBA Rumors: Kevin Durant 'Never Felt Comfortable' With Role in Vogel's Suns
Offense
-
The 2023-24 Phoenix Suns will go down as one of the most expensive
disappointments in NBA history, and Kevin Durant may want changes heading
into next seas...
43 minutes ago
0 comments:
Post a Comment