Georges-Kevin Nkoudou (kulia) akipongezwa na Dele Alli baada ya Mfaransa huyo kuifungia Tottenham bao la tatu dakika ya 80 katika ushindi wa 3-0 dhidi ya APOEL Nicosia ya Cyprus katika mchezo wa Kundi H Ligi ya Mabingwa Ulaya usiku wa jana Uwanja wa Wembley Jijini London. Mabao mengine yalifungwa na Fernando Llorente dakika ya 20 na Son Heung-min dakika ya 37 na Spurs inafuzu hatua ya 16 Bora kama mshindi wa Kundi H kwa kukufikisha pointi 16 ikifuatiwa na Real Madrid iliyomaliza na pointi 13 PICHA ZAIDI GONGA HAPA
Thanks, but don't dare say it out loud: Aussie swimmers are warned not to
publicly thank Gina Rinehart during the Commonwealth Games - despite mining
magnate's generous gift
-
Australia's best swimmers have been hit with a serious warning - which if
not listened to - could lead to a serious breach of contract.
49 minutes ago



.png)
0 comments:
Post a Comment