Georges-Kevin Nkoudou (kulia) akipongezwa na Dele Alli baada ya Mfaransa huyo kuifungia Tottenham bao la tatu dakika ya 80 katika ushindi wa 3-0 dhidi ya APOEL Nicosia ya Cyprus katika mchezo wa Kundi H Ligi ya Mabingwa Ulaya usiku wa jana Uwanja wa Wembley Jijini London. Mabao mengine yalifungwa na Fernando Llorente dakika ya 20 na Son Heung-min dakika ya 37 na Spurs inafuzu hatua ya 16 Bora kama mshindi wa Kundi H kwa kukufikisha pointi 16 ikifuatiwa na Real Madrid iliyomaliza na pointi 13 PICHA ZAIDI GONGA HAPA
Reps in heated argument over Rivers crisis
-
From Ndubuisi Orji, Abuja Two members of the House of Representatives,
Marie Ebikake and Blessing Amadi, were engaged in a heated argument over
the dec...
28 minutes ago
0 comments:
Post a Comment