Georges-Kevin Nkoudou (kulia) akipongezwa na Dele Alli baada ya Mfaransa huyo kuifungia Tottenham bao la tatu dakika ya 80 katika ushindi wa 3-0 dhidi ya APOEL Nicosia ya Cyprus katika mchezo wa Kundi H Ligi ya Mabingwa Ulaya usiku wa jana Uwanja wa Wembley Jijini London. Mabao mengine yalifungwa na Fernando Llorente dakika ya 20 na Son Heung-min dakika ya 37 na Spurs inafuzu hatua ya 16 Bora kama mshindi wa Kundi H kwa kukufikisha pointi 16 ikifuatiwa na Real Madrid iliyomaliza na pointi 13 PICHA ZAIDI GONGA HAPA
Celtics' Jayson Tatum Explains Why He Wanted to Face Heat in NBA Playoffs
1st Round
-
Boston Celtics forward Jayson Tatum says his team was "relaxed" during last
season's first-round series against the Atlanta Hawks, and that he wanted
to st...
6 minutes ago
0 comments:
Post a Comment