Magwiji wa soka, Diego Maradona wa Argentina na Pele wa Brazil wakifurahia pamoja wakati wa droo ya upangaji wa ratiba na makundi ya Kombe la Dunia jana mjini Moscow, Urusi. Kwa muda wanasoka hao wamekuwa na upinzani mkali tangu wanacheza, lakini siku za karibuni wameanza kuelewana na kufurahi pamoja PICHA ZAIDI GONGA HAPA
Leaner, Meaner, and Ready to Fly: How a Slimmed-Down British Brooks
Reshapes the Texans' 2026 Backfield
-
Shedding 17 pounds and a heavy fullback label, the North Carolina product
is reclaiming his explosive burst to transform Houston's backfield into a
versati...
10 minutes ago



.png)
0 comments:
Post a Comment