Magwiji wa soka, Diego Maradona wa Argentina na Pele wa Brazil wakifurahia pamoja wakati wa droo ya upangaji wa ratiba na makundi ya Kombe la Dunia jana mjini Moscow, Urusi. Kwa muda wanasoka hao wamekuwa na upinzani mkali tangu wanacheza, lakini siku za karibuni wameanza kuelewana na kufurahi pamoja PICHA ZAIDI GONGA HAPA
Strong institutions to the rescue
-
Since the fall of man in the Garden of Eden, no man is holy, wise, or
intelligent enough to be entrusted with unlimited powers. Sin and
corruption were r...
2 minutes ago



.png)
0 comments:
Post a Comment