Mshambuliaji mpya wa Azam FC, Bernard Arthur akiondoka na mpira katika mazoezi ya timu hiyo jana asubuhi Uwanja wa Azam Complex, Chamazi, Dar es Salaam
Bernard Arthur amekuwa kivutio katika mazoezi ya Azam FC tangu awasili wiki iliyopita
Bernard Arthur (kushoto) akikimbia na wenzake Azam Complex, Chamazi
Bernard Arthur hapa akifanya mazoezi ya gmy ndani ya Azam Complex
Wachezaji wengine wa Azam FC wanaendelea na mazoezi pia na hapa wakiwa kwenye bwawa la kuogelea la Azam Complex
REVEALED: Tyrese Maxey's Game 5 heroics against the Knicks never should
have happened, as the NBA announces referees missed a travel
-
The NBA has stated that officials of Tuesday night's Game 5 between the New
York Knicks and Philadelphia 76ers missed a critical travel on Philadelphia
sta...
29 minutes ago
0 comments:
Post a Comment