David Silva akishangilia baada ya kuifungia Manchester City bao la ushindi dakika ya 83 ikiilaza 2-1 West Ham United Jumapili Uwanja wa Etihad katika mchezo wa Ligi Kuu ya England. West Ham walitangulia kwa bao la Angelo Ogbonna dakika ya 44, kabla ya Nicolas Otamendi kuisawazishia Man City dakika ya 57 ikishinda mechi ya 13 mfululizo msimu huu PICHA ZAIDI GONGA HAPA
'Generational talent' Littler wins Austrian Open
-
Luke Littler is hailed as a "generational talent" after the teenager wins
the Austrian Darts Open in Graz.
11 minutes ago
0 comments:
Post a Comment