Nahodha wa Liverpool katika mchezo wa jana, Philippe Coutinho akishangilia baada ya kufunga matatu dakika za nne kwa penalti, 15 na 50 katika ushindi wa 7-0 dhidi ya Spartak Moscow usiku wa jana Uwanja wa Anfield kwenye mchezo wa Kundi E Ligi ya Mabingwa Ulaya. Mabao mengine yalifungwa na Roberto Firmino dakika ya 18, Sadio Mane dakika ya 47 na 76 na Mohamed Salah dakika ya 86 na kwa matokeo hayo Liverpool inamaliza na pointi 12 kileleni mwa Kundi E na kufuzu hatua ya 16 Bora Ligi ya Mabingwa ikiungana na Sevilla yenye pointi tisa PICHA ZAIDI GONGA HAPA
Former Man United goalkeeper David de Gea posts training video from
non-league ground... as the free agent vows to 'come back stronger' after
spending almost a year away from football
-
Former Manchester United goalkeeper David de Gea has posted a video of
himself in training to give another clear indication that he is ready to
return to f...
15 minutes ago
0 comments:
Post a Comment