Wayne Rooney akiwafokea wachezaji wenzake, baada ya timu yao, Everton kufungwa bao la tatu kabla ya mapumziko katika mchezo wa ufunguzi wa Kundi E Ligi ya Ulaya jana Uwanja wa MAPEI mjini Citta del Tricolore, Reggio nell'Emilia wakilala 3-0 ugenini Italia. Mabao ya Atalanta yamefungwa na Andrea Masiello dakika ya 27, Alejandro Gomez dakika ya 41 na Bryan Castante dakika ya 44 PICHA ZAIDI GONGA HAPA
More revenue for Nigeria as crude hits over $100/barrel
-
Nigeria’s struggling revenue profile is set for a rise as Brent crude
yesterday, rose above $100 a barrel for the first time in nearly two
months, hittin...
4 hours ago



.png)
0 comments:
Post a Comment