Wayne Rooney akiwafokea wachezaji wenzake, baada ya timu yao, Everton kufungwa bao la tatu kabla ya mapumziko katika mchezo wa ufunguzi wa Kundi E Ligi ya Ulaya jana Uwanja wa MAPEI mjini Citta del Tricolore, Reggio nell'Emilia wakilala 3-0 ugenini Italia. Mabao ya Atalanta yamefungwa na Andrea Masiello dakika ya 27, Alejandro Gomez dakika ya 41 na Bryan Castante dakika ya 44 PICHA ZAIDI GONGA HAPA
Wrexham stars are treated to ANOTHER trip to Las Vegas after their
'monster' all-expenses holiday last year as Ryan Reynolds and Rob
McElhenney's side celebrate pulling off back-to-back promotions
-
The Welsh outfit sealed a return to League One for the first time in 19
years after finishing second in the fourth tier of English football,
earning 88 poi...
21 minutes ago
0 comments:
Post a Comment