Wayne Rooney akiwafokea wachezaji wenzake, baada ya timu yao, Everton kufungwa bao la tatu kabla ya mapumziko katika mchezo wa ufunguzi wa Kundi E Ligi ya Ulaya jana Uwanja wa MAPEI mjini Citta del Tricolore, Reggio nell'Emilia wakilala 3-0 ugenini Italia. Mabao ya Atalanta yamefungwa na Andrea Masiello dakika ya 27, Alejandro Gomez dakika ya 41 na Bryan Castante dakika ya 44 PICHA ZAIDI GONGA HAPA
Giants' John Mara Expects to Retain Brian Daboll, Joe Schoen for 2025 NFL
Season
-
New York Giants owner John Mara emphatically stated Wednesday that the team
will not be moving on from general manager Joe Schoen and head coach Brian
Daboll…
45 minutes ago
0 comments:
Post a Comment