Mshambuliaji wa Tottenham Hotspur, Harry Kane akishangilia baada ya kuifungia timu yake mabao mawili dakika za 15 na 60 katika ushindi wa 3-1 dhidi ya Borussia Dortmund usiku wa jana Uwanja wa Wembley katika mchezo wa Kundi H Ligi ya Mabingwa Ulaya. Bao lingine la Spurs lilifungwa na Son Heung-min dakika ya nne, wakati la wageni lilifungwa na Andriy Yarmolenko dakika ya 11 PICHA ZAIDI GONGA HAPA
Robert Kraft delivers message to Vladimir Putin over Super Bowl ring at Tom
Brady roast after Russian leader has held it for nearly two decades
-
It's been 19 years since one of the Super Bowl championship rings owned by
Robert Kraft was taken by Russian leader Vladimir Putin. Kraft hasn't
forgotten.
36 minutes ago
0 comments:
Post a Comment