Mshambuliaji wa Tottenham Hotspur, Harry Kane akishangilia baada ya kuifungia timu yake mabao mawili dakika za 15 na 60 katika ushindi wa 3-1 dhidi ya Borussia Dortmund usiku wa jana Uwanja wa Wembley katika mchezo wa Kundi H Ligi ya Mabingwa Ulaya. Bao lingine la Spurs lilifungwa na Son Heung-min dakika ya nne, wakati la wageni lilifungwa na Andriy Yarmolenko dakika ya 11 PICHA ZAIDI GONGA HAPA
Giants' John Mara Expects to Retain Brian Daboll, Joe Schoen for 2025 NFL
Season
-
New York Giants owner John Mara emphatically stated Wednesday that the team
will not be moving on from general manager Joe Schoen and head coach Brian
Daboll…
45 minutes ago
0 comments:
Post a Comment