Jermain Defoe akiteleza kushangilia baada ya kuifungia bao la pili Bournemouth dakika ya 73 katika ushindi wa 2-1 dhidi ya Brighton kwenye mchezo wa Ligi Kuu ya England usiku wa jana Uwanja wa Vitality. Solly March alianza kuwafungia Brighton dakika ya 55 kabla ya Andrew Surman kuwasawazishia wenyeji dakika ya 67 PICHA ZAIDI GONGA HAPA
Critics waiting for Celtic to slip up - Rodgers
-
Speaking before Celtic's Champions League match with Atalanta, manager
Brendan Rodgers says his side's critics are waiting for them to slip up.
36 minutes ago
0 comments:
Post a Comment