Jermain Defoe akiteleza kushangilia baada ya kuifungia bao la pili Bournemouth dakika ya 73 katika ushindi wa 2-1 dhidi ya Brighton kwenye mchezo wa Ligi Kuu ya England usiku wa jana Uwanja wa Vitality. Solly March alianza kuwafungia Brighton dakika ya 55 kabla ya Andrew Surman kuwasawazishia wenyeji dakika ya 67 PICHA ZAIDI GONGA HAPA
Belgium vs Egypt - World Cup LIVE: Mohamed Salah's side draw first blood as
seven-time AFCON champions eye first ever tournament win
-
Follow Daily Mail Sport's live coverage as Belgium get their World Cup
campaign underway in Group G as they take on Egypt at the Seattle Stadium.
38 minutes ago



.png)
0 comments:
Post a Comment