Mshambuliaji kinda wa miaka 17 wa West Brom, Jonathan Leko akipambana na beki wa Liverpool, Brad Smith kuwania mpira katika mchezo wa Ligi Kuu ya England jioni ya leo Uwanja wa The Hawthorns. Timu hizo zimetoka sare ya 1-1, bao la wenyeji likifungwa na Jose Salomon Rondon dakika ya 13, kabla ya Jordon Ibe kuisawazishia Liverpool dakika 10 baadaye PICHA ZAIDI GONGA HAPA
Fans notice Toni Kroos told Vinicius Jr where to run for Real Madrid's
opener at Bayern Munich - with one hailing the German's 'football IQ'
against his former team
-
Fans noticed how instrumental Toni Kroos was in Real Madrid's opener on
Tuesday night - by pointing Vinicius Jr in the direction to run.
5 minutes ago
0 comments:
Post a Comment