Mshambuliaji kinda wa Manchester United, Marcus Rashford akikimbia kushangilia baada ya kuifungia England bao dakika ya tatu akiichezea mara ya kwanza timu ya taifa ya wakubwa katika ushindi wa 2-1 dhidi ya Australia kwenye mchezo wa kirafiki wa kimataifa usiku wa jana Uwanja wa Light, Sunderland. Bao lingine la England limefungwa na Nahodha Wayne Rooney dakika ya 55, wakati la wageni limefungwa na nyota wa Tottenham, Eric Dier aliyemfunga kipa wake, Fraser Forster dakika ya 75 katika harakati za kuokoa PICHA ZAIDI GONGA HAPA
West Ham 2-2 Brentford (pens 5-3): Hammers earn FA Cup quarter-final spot
after nerve-wracking clash - after Dango Ouattara hits EMBARRASSING
spot-kick
-
LUKE POWER AT THE LONDON STADIUM: West Ham booked their place in the
quarter-finals of the FA Cup for the first time in a decade - and had a
woeful Panenka...
26 minutes ago



.png)
0 comments:
Post a Comment