Beki wa Bosnia-Herzegovina, Emier Spahic akimpa mkono wa uso kiungo wa Hispania Cesc Fabregas wakati wa mchezo wa kirafiki wa kimataifa baina ya timu hizo usiku wa Jumapili nchini Uswisi. Spahic alitolewa kwa kadi nyekundu Hispania ikiilaza Bosni 3-1. Mabao ya Hispania yamefungwa na Nolito mawili na lingine Pedro wakati la Bosnia limefungwa na Spahic PICHA ZAIDI GONGA HAPA
🏆 Champions League returns: all you need to know about the last 16
-
The UEFA Champions League enters its most exciting phase. After a draw that
resulted in matchups worthy of an early final, the 16 best teams on the
contine...
6 minutes ago



.png)
0 comments:
Post a Comment