Beki wa Bosnia-Herzegovina, Emier Spahic akimpa mkono wa uso kiungo wa Hispania Cesc Fabregas wakati wa mchezo wa kirafiki wa kimataifa baina ya timu hizo usiku wa Jumapili nchini Uswisi. Spahic alitolewa kwa kadi nyekundu Hispania ikiilaza Bosni 3-1. Mabao ya Hispania yamefungwa na Nolito mawili na lingine Pedro wakati la Bosnia limefungwa na Spahic PICHA ZAIDI GONGA HAPA
Experts rule that Brian Brobbey SHOULD have been sent off against Tottenham
after causing Cristian Romero's season-ending injury
-
If Tottenham are relegated this season - few refereeing decisions will be
cursed more than Brian Brobbey escaping being sent off. A KMI panel has
ruled tha...
42 minutes ago



.png)
0 comments:
Post a Comment