Beki wa Bosnia-Herzegovina, Emier Spahic akimpa mkono wa uso kiungo wa Hispania Cesc Fabregas wakati wa mchezo wa kirafiki wa kimataifa baina ya timu hizo usiku wa Jumapili nchini Uswisi. Spahic alitolewa kwa kadi nyekundu Hispania ikiilaza Bosni 3-1. Mabao ya Hispania yamefungwa na Nolito mawili na lingine Pedro wakati la Bosnia limefungwa na Spahic PICHA ZAIDI GONGA HAPA
Rio Ferdinand lists players Man Utd should sell saying midfielder must have 'hard conversations'
-
While the club are currently in the midst of a take-over , the Dutchman
recently admitted that he was 'in the dark' around how much he would be
able to spe...
1 hour ago
0 comments:
Post a Comment