Bondia Arnold Gjergjaj akipepesuka kuelekea chini baada ya kupigwa ngumi mfululizo na mpinzani wake David Haye katika pambano la uzito wa juu usiku wa jana ukumbi wa O2 mjini London, Uingereza. Haye alishinda kwa Knockout (KO) raundi ya pili akimuangusha mara nne mpinzani wake huyo na sasa anaweza kurudi tena ulingoni Septemba kuzipiga na Mmarekani Shannon Briggs ambaye pia alishinda pambano lake usiku wa jana PICHA ZAIDI GONGA HAPA
Revealed: Chelsea's secret talks to get SIX-POINT deduction overturned as
Blues are hit with £10MILLION fine for 'illegal' signings under Roman
Abramovich
-
Chelsea have avoided a potential points deduction from the FA after an
appeal, it has been revealed, but will now pay a £10million fine and serve
a suspend...
29 minutes ago



.png)
0 comments:
Post a Comment