Bondia Arnold Gjergjaj akipepesuka kuelekea chini baada ya kupigwa ngumi mfululizo na mpinzani wake David Haye katika pambano la uzito wa juu usiku wa jana ukumbi wa O2 mjini London, Uingereza. Haye alishinda kwa Knockout (KO) raundi ya pili akimuangusha mara nne mpinzani wake huyo na sasa anaweza kurudi tena ulingoni Septemba kuzipiga na Mmarekani Shannon Briggs ambaye pia alishinda pambano lake usiku wa jana PICHA ZAIDI GONGA HAPA
Carlos Tevez, 40, rushed to hospital in Buenos Aires after suffering chest
pains... with the ex-Man United and Man City forward kept in overnight
-
The 40-year-old, one of only 14 footballers to play for both Manchester
United and Manchester City, spent the night at a clinic in the
neighbourhood of San...
16 minutes ago
0 comments:
Post a Comment