Kocha Pep Guardiola akijifuta machozi baada ya timu yake kushinda Kombe la Ujerumani kwa ushindi wa penalti 4-3 baada ya sare ya 0-0 dhidi ya Borussia Dortmund usiku wa jana Uwanja wa Olimpiki mjini Berlin, Ujerumani. Guardiola anaondoka Bayern Munich anahamia Manchester City ya England baada ya kumaliza msimu jana na mchezo huo ulikuwa wa mwisho kwake kuiongoza timu hiyo PICHA ZAIDI GONGA HAPA
Resurgent Daniel Ricciardo stuns the field in Miami with a result even the
Aussie himself couldn't believe
-
Daniel Ricciardo delivered an impressive performance at the Miami Grand
Prix, securing the fourth-fastest time in qualifying for Saturday's sprint
race
23 minutes ago
0 comments:
Post a Comment