Kocha Pep Guardiola akijifuta machozi baada ya timu yake kushinda Kombe la Ujerumani kwa ushindi wa penalti 4-3 baada ya sare ya 0-0 dhidi ya Borussia Dortmund usiku wa jana Uwanja wa Olimpiki mjini Berlin, Ujerumani. Guardiola anaondoka Bayern Munich anahamia Manchester City ya England baada ya kumaliza msimu jana na mchezo huo ulikuwa wa mwisho kwake kuiongoza timu hiyo PICHA ZAIDI GONGA HAPA
Elements Casino Surrey sold to Semiahmoo First Nation
-
The Semiahmoo First Nation has announced it will acquire Elements Casino
Surrey from operator Great Canadian Entertainment, pending regulatory
approval. It...
19 minutes ago



.png)
0 comments:
Post a Comment