Kocha Pep Guardiola akijifuta machozi baada ya timu yake kushinda Kombe la Ujerumani kwa ushindi wa penalti 4-3 baada ya sare ya 0-0 dhidi ya Borussia Dortmund usiku wa jana Uwanja wa Olimpiki mjini Berlin, Ujerumani. Guardiola anaondoka Bayern Munich anahamia Manchester City ya England baada ya kumaliza msimu jana na mchezo huo ulikuwa wa mwisho kwake kuiongoza timu hiyo PICHA ZAIDI GONGA HAPA
Revealed: Chelsea's secret talks to get SIX-POINT deduction overturned as
Blues are hit with £10MILLION fine for 'illegal' signings under Roman
Abramovich
-
Chelsea have avoided a potential points deduction from the FA after an
appeal, it has been revealed, but will now pay a £10million fine and serve
a suspend...
29 minutes ago



.png)
0 comments:
Post a Comment