Kiungo Yannick Carrasco akimpiga busu mpenzi wake, mwanamitindo na Miss Ubelgiji, Noemie Happart baada ya kuifungia bao la kusawazisha Atletico Madrid katika sare ya 1-1 ndani ya dakika 120 dhidi ya mahasimu, Real Madrid kwenye fainali ya Ligi ya Mabingwa Ulaya Uwanja wa San Siro. Hata hivyo, Atletico walifungwa kwa penalti 5-3
Manchester United confirm record-breaking deal to follow Arsenal and Man
City
-
Michael Carrick’s first full season in charge at Old Trafford just got even
more interesting
5 minutes ago



.png)
0 comments:
Post a Comment