Michal Duris akishangilia baada ya kuifungia Slovakia bao la pili kwa kichwa akimalizia krosi ya Vladimir Weiss katika ushindi wa 3-1 dhidi ya Ujerumani Jumapili Uwanja wa WWK Arena mjini Augsburg. Mabao mengine ya Slovakia yamefungwa na Marek Hamsik na Juraj Kucka, wakati la wenyeji limefungwa na Mario Gomez kwa penalti katika mchezo huo wa kirafiki wa kimataifa PICHA ZAIDI GONGA HAPA
Unai Emery hails Emiliano Martinez as the 'BEST goalkeeper in the world'
after match-winning display and antics against Lille, but admits he
'thought Argentine would be sent off'
-
Unai Emery has hailed Emi Martinez as the world's best goalkeeper after his
controversial performance in Aston Villa's dramatic win over Lille.
14 minutes ago
0 comments:
Post a Comment