Michal Duris akishangilia baada ya kuifungia Slovakia bao la pili kwa kichwa akimalizia krosi ya Vladimir Weiss katika ushindi wa 3-1 dhidi ya Ujerumani Jumapili Uwanja wa WWK Arena mjini Augsburg. Mabao mengine ya Slovakia yamefungwa na Marek Hamsik na Juraj Kucka, wakati la wenyeji limefungwa na Mario Gomez kwa penalti katika mchezo huo wa kirafiki wa kimataifa PICHA ZAIDI GONGA HAPA
Manchester United confirm record-breaking deal to follow Arsenal and Man
City
-
Michael Carrick’s first full season in charge at Old Trafford just got even
more interesting
5 minutes ago



.png)
0 comments:
Post a Comment