Michal Duris akishangilia baada ya kuifungia Slovakia bao la pili kwa kichwa akimalizia krosi ya Vladimir Weiss katika ushindi wa 3-1 dhidi ya Ujerumani Jumapili Uwanja wa WWK Arena mjini Augsburg. Mabao mengine ya Slovakia yamefungwa na Marek Hamsik na Juraj Kucka, wakati la wenyeji limefungwa na Mario Gomez kwa penalti katika mchezo huo wa kirafiki wa kimataifa PICHA ZAIDI GONGA HAPA
Revealed: Chelsea's secret talks to get SIX-POINT deduction overturned as
Blues are hit with £10MILLION fine for 'illegal' signings under Roman
Abramovich
-
Chelsea have avoided a potential points deduction from the FA after an
appeal, it has been revealed, but will now pay a £10million fine and serve
a suspend...
29 minutes ago



.png)
0 comments:
Post a Comment