Kinda Cameron Borthwick-Jackson akisaini Mkataba wa miaka minne kuendelea kuichezea Manchester United hadi mwaka 2020 kufuatia mwanzo mzuri msimu huu baada ya kupandishwa kutoka timu ya vijana. Makinda wengine waliosainishwa ni pamoja na Marcus Rashford hadi mwaka 2020 pia, wakilipwa Pauni 25,000 kwa wiki kutoka Pauni 1,500 kwa wiki na wote wanasaini siku mbili baada ya Mreno, Jose Mourinho kutangazwa kuwa kocha mpya wa klabu hiyo PICHA ZAIDI GONGA HAPA
West Ham 2-2 Brentford (pens 5-3): Hammers earn FA Cup quarter-final spot
after nerve-wracking clash - after Dango Ouattara hits EMBARRASSING
spot-kick
-
LUKE POWER AT THE LONDON STADIUM: West Ham booked their place in the
quarter-finals of the FA Cup for the first time in a decade - and had a
woeful Panenka...
25 minutes ago



.png)
0 comments:
Post a Comment