Kinda Cameron Borthwick-Jackson akisaini Mkataba wa miaka minne kuendelea kuichezea Manchester United hadi mwaka 2020 kufuatia mwanzo mzuri msimu huu baada ya kupandishwa kutoka timu ya vijana. Makinda wengine waliosainishwa ni pamoja na Marcus Rashford hadi mwaka 2020 pia, wakilipwa Pauni 25,000 kwa wiki kutoka Pauni 1,500 kwa wiki na wote wanasaini siku mbili baada ya Mreno, Jose Mourinho kutangazwa kuwa kocha mpya wa klabu hiyo PICHA ZAIDI GONGA HAPA
Revealed: Chelsea's secret talks to get SIX-POINT deduction overturned as
Blues are hit with £10MILLION fine for 'illegal' signings under Roman
Abramovich
-
Chelsea have avoided a potential points deduction from the FA after an
appeal, it has been revealed, but will now pay a £10million fine and serve
a suspend...
28 minutes ago



.png)
0 comments:
Post a Comment