Kinda Cameron Borthwick-Jackson akisaini Mkataba wa miaka minne kuendelea kuichezea Manchester United hadi mwaka 2020 kufuatia mwanzo mzuri msimu huu baada ya kupandishwa kutoka timu ya vijana. Makinda wengine waliosainishwa ni pamoja na Marcus Rashford hadi mwaka 2020 pia, wakilipwa Pauni 25,000 kwa wiki kutoka Pauni 1,500 kwa wiki na wote wanasaini siku mbili baada ya Mreno, Jose Mourinho kutangazwa kuwa kocha mpya wa klabu hiyo PICHA ZAIDI GONGA HAPA
Sunderland's Wembley curse still needs to be buried for supporters and former players
-
In the wake of the club's 1973 FA Cup win over Leeds - when Bob Stokoe's
second tier underdogs beat the holders 1-0 - the Black Cats lost their next
eight ...
Dakika 24 zilizopita
0 maoni:
Chapisha Maoni