Nyota wa Manchester United, Jesse Lingard akikimbia kushangilia baada ya kuifungia timu yake bao la ushindi dakika ya 110 ikiilaza 2-1 Crystal Palace katika fainali ya Kombe la FA England iliyodumu kwa dakika 120 usiku huu Uwanja wa Wembley mjini London. Jason Puncheon alianza kuifungia Crystal Palace dakika ya 78 kabla ya Juan Mata kuisawazishia United dakika ya 81. United ilimaliza pungufu mechi hiyo, baada ya Chris Smalling kutolewa kwa kadi nyekundu dakika ya 105 kufuatia kuonyeshwa kadi ya pili ya njano kwa kumchezea rafu Yannick Bolasie PICHA ZAIDI GONGA HAPA
Lionesses on tour! Ella Toone takes her England team-mates to Ibiza for her
hen do, weeks before her wedding - where her fiancé says football chat is
BANNED!
-
Lionesses star Ella Toone has been celebrating her recent engagement in
style in Ibiza alongside her England team-mates and other women's football
players.
10 minutes ago



.png)
0 comments:
Post a Comment