Kipa wa Cameroon, Fabrice Ondoa akiruka bila mafanikio kuokoa mchomo wa Dimitri Payet wa Ufaransa katika mchezo wa kirafiki wa kimataifa usiku wa jana Uwanja wa Nantes, Ufaransa. Ufaransa ilishinda 3-2, mabao yake yakifungwa na Matuidi dakika ya 20, Giroud dakika ya 41 na Payet dakika ya 90, wakati ya Cameroon yalifungwa na Aboubakar dakika ya 22 na Choupo-Moting dakika ya 87 PICHA ZAIDI GONGA HAPA
Lionesses on tour! Ella Toone takes her England team-mates to Ibiza for her
hen do, weeks before her wedding - where her fiancé says football chat is
BANNED!
-
Lionesses star Ella Toone has been celebrating her recent engagement in
style in Ibiza alongside her England team-mates and other women's football
players.
7 minutes ago



.png)
0 comments:
Post a Comment