Kipa wa Cameroon, Fabrice Ondoa akiruka bila mafanikio kuokoa mchomo wa Dimitri Payet wa Ufaransa katika mchezo wa kirafiki wa kimataifa usiku wa jana Uwanja wa Nantes, Ufaransa. Ufaransa ilishinda 3-2, mabao yake yakifungwa na Matuidi dakika ya 20, Giroud dakika ya 41 na Payet dakika ya 90, wakati ya Cameroon yalifungwa na Aboubakar dakika ya 22 na Choupo-Moting dakika ya 87 PICHA ZAIDI GONGA HAPA
Revealed: Chelsea's secret talks to get SIX-POINT deduction overturned as
Blues are hit with £10MILLION fine for 'illegal' signings under Roman
Abramovich
-
Chelsea have avoided a potential points deduction from the FA after an
appeal, it has been revealed, but will now pay a £10million fine and serve
a suspend...
27 minutes ago



.png)
0 comments:
Post a Comment