Kipa wa Cameroon, Fabrice Ondoa akiruka bila mafanikio kuokoa mchomo wa Dimitri Payet wa Ufaransa katika mchezo wa kirafiki wa kimataifa usiku wa jana Uwanja wa Nantes, Ufaransa. Ufaransa ilishinda 3-2, mabao yake yakifungwa na Matuidi dakika ya 20, Giroud dakika ya 41 na Payet dakika ya 90, wakati ya Cameroon yalifungwa na Aboubakar dakika ya 22 na Choupo-Moting dakika ya 87 PICHA ZAIDI GONGA HAPA
Thierry Henry stuck out on the right flank, no room for Kevin De Bruyne and
two Man United legends... Phil Foden reveals his all-time Premier League XI
to Mail Sport
-
In addition to discussing the title run-in and detailing why he wears the
number 47 , Foden also named an all-time XI that raised more than a few
eyebrows ...
42 minutes ago
0 comments:
Post a Comment