Kipa wa Cameroon, Fabrice Ondoa akiruka bila mafanikio kuokoa mchomo wa Dimitri Payet wa Ufaransa katika mchezo wa kirafiki wa kimataifa usiku wa jana Uwanja wa Nantes, Ufaransa. Ufaransa ilishinda 3-2, mabao yake yakifungwa na Matuidi dakika ya 20, Giroud dakika ya 41 na Payet dakika ya 90, wakati ya Cameroon yalifungwa na Aboubakar dakika ya 22 na Choupo-Moting dakika ya 87 PICHA ZAIDI GONGA HAPA
Man City host Liverpool, Port Vale face Chelsea - full FA Cup draw
-
League One Port Vale's reward for beating Sunderland in the FA Cup is a
quarter-final tie away to Chelsea, while Manchester City will host
Liverpool in a h...
1 hour ago



.png)
0 comments:
Post a Comment