Mshambuliaji wa Arsenal, Olivier Giroud akishangilia baada ya kuifungia timu yake mabao matatu katika ushindi wa 4-0 dhidi ya Aston Villa kwenye mchezo wa Ligi Kuu ya England jioni ya leo Uwanja wa Emirates. Bao lingine la Arsenal limefungwa na kipa wa Villa, Mark Bunn aliyejifunga akijaribu kuokoa shuti la Mikel Arteta lililomgonga na kutinga nyavuni PICHA ZAIDI GONGA HAPA
UN chief condemns xenophobia, demands action from South Africa
-
The United Nations Secretary General, António Guterres has strongly
condemned rising xenophobic attacks in South Africa and urged authorities
to take dec...
29 minutes ago



.png)
0 comments:
Post a Comment