Mshambuliaji wa Arsenal, Olivier Giroud akishangilia baada ya kuifungia timu yake mabao matatu katika ushindi wa 4-0 dhidi ya Aston Villa kwenye mchezo wa Ligi Kuu ya England jioni ya leo Uwanja wa Emirates. Bao lingine la Arsenal limefungwa na kipa wa Villa, Mark Bunn aliyejifunga akijaribu kuokoa shuti la Mikel Arteta lililomgonga na kutinga nyavuni PICHA ZAIDI GONGA HAPA
NFL Rumors: Panthers FA DJ Chark to Sign 1-Year Contract with Jim Harbaugh,
Chargers
-
The Los Angeles Chargers and free agent wide receiver DJ Chark have agreed
to a one-year deal worth up to $5 million, per Ian Rapoport of NFL Network.
The…
27 minutes ago
0 comments:
Post a Comment