Mshambuliaji wa Arsenal, Olivier Giroud akishangilia baada ya kuifungia timu yake mabao matatu katika ushindi wa 4-0 dhidi ya Aston Villa kwenye mchezo wa Ligi Kuu ya England jioni ya leo Uwanja wa Emirates. Bao lingine la Arsenal limefungwa na kipa wa Villa, Mark Bunn aliyejifunga akijaribu kuokoa shuti la Mikel Arteta lililomgonga na kutinga nyavuni PICHA ZAIDI GONGA HAPA
World Cup 2026: Cristiano Ronaldo becomes first man to score a goal in six
World Cups
-
Cristiano Ronaldo is still setting records at 41.
4 hours ago



.png)
0 comments:
Post a Comment