Kipa wa mabingwa wapya wa Ligi Kuu ya England, Leicester City, Kasper Schmeichel akirukia mpira miguuni mwa mshambuliaji wa Chelsea, Pedro katika mchezo wa ligi hiyo jioni ya leo Uwanja wa Stamford Bridge, London. Timu hizo zimetoka sare ya 1-1, Cesc Fabregas alianza kuwafungia wenyeji kwa penalti dakika ya 66 baada ya Nemanja Matic kuchezewa rafu kwenye boksi, kabla ya kiungo Danny Drinkwater kuisawazishia Leicester zikiwa zimebaki dakika nane PICHA ZAIDI GONGA HAPA
Title race TV row: Arsenal handed advantage as Man City's bid to switch
matches is REJECTED
-
Man City's schedule has been complicated further by their progression to
the FA Cup final, requiring their Premier League clash against Bournemouth
on May ...
17 minutes ago



.png)
0 comments:
Post a Comment