Kipa wa mabingwa wapya wa Ligi Kuu ya England, Leicester City, Kasper Schmeichel akirukia mpira miguuni mwa mshambuliaji wa Chelsea, Pedro katika mchezo wa ligi hiyo jioni ya leo Uwanja wa Stamford Bridge, London. Timu hizo zimetoka sare ya 1-1, Cesc Fabregas alianza kuwafungia wenyeji kwa penalti dakika ya 66 baada ya Nemanja Matic kuchezewa rafu kwenye boksi, kabla ya kiungo Danny Drinkwater kuisawazishia Leicester zikiwa zimebaki dakika nane PICHA ZAIDI GONGA HAPA
Ezekiel Elliott to Wear No. 21 Cowboys Jersey After Signing Contract Worth
Up to $3M
-
Ezekiel Elliott's second tenure with the Dallas Cowboys will look a lot
like the first. Elliott will once again wear No. 21 with the Cowboys after
signing a…
11 minutes ago
0 comments:
Post a Comment