• HABARI MPYA

    Sunday, May 15, 2016

    CHELSEA YATOA DROO NA MABINGWA LEICESTER 1-1 DARAJANI

    Kipa wa mabingwa wapya wa Ligi Kuu ya England, Leicester City, Kasper Schmeichel akirukia mpira miguuni mwa mshambuliaji wa Chelsea, Pedro katika mchezo wa ligi hiyo jioni ya leo Uwanja wa Stamford Bridge, London. Timu hizo zimetoka sare ya 1-1, Cesc Fabregas alianza kuwafungia wenyeji kwa penalti dakika ya 66 baada ya Nemanja Matic kuchezewa rafu kwenye boksi, kabla ya kiungo Danny Drinkwater kuisawazishia Leicester zikiwa zimebaki dakika nane PICHA ZAIDI GONGA HAPA
    • Blogger Comments
    • Facebook Comments

    0 comments:

    Item Reviewed: CHELSEA YATOA DROO NA MABINGWA LEICESTER 1-1 DARAJANI Rating: 5 Reviewed By: Mahmoud Bin Zubeiry
    Scroll to Top