MKWAJU wa penalti wa Stephen Bengo kipindi cha kwanza umeipa pointi tatu SC Villa baada ya mabingwa hao mara 16 kuifunga Bright Stars 1-0 katika Ligi Kuu ya Uganda (UPL) viwanja vya Ssaza Grounds, Mityana jana. Huo unakuwa ushindi wa tisa katika mechi 14 kwa Villa, na kukifanya kikosi cha kocha Sam Ssimbwa kiindoe KCC katika nafasi ya pili kwenye msimamo wa ligi, kwa kufikisha pointi 30, ikizidiwa moja tu na vinara, Vipers. Kipigo hicho kinakuwa cha nne kwa timu ya Fred Kajoba, Bright Stars msimu huu, ambacho kinawafanya washuke kwa nafasi moja hadi ya nane wakibaki na pointi zao 20. Wenyeji walipata bao la kuongoza dakika ya 17 baada ya mchezaji wa Villa kutoka Nigeria, Victor Emenayo kuchezewa rafu kwenye eneo la hatari la Bengo akaenda kufunga
Morocco upset Argentina in Dramatic Olympics game
-
Morocco secured a wild 2-1 win over Argentina at the start of the Olympic
men’s soccer tournament on July 24 — but not before furious fans invaded
the pi...
FUFA Super8: Sam Ssimbwa to handle Select side
-
A squad of 29 players has been named to feature as Uganda Cranes Select
side in the 2024 FUFA Super 8 Tournament that kicks off on 2nd August. The
squad...
OMTO WAJA NA MAKUBWA 2024
-
Mkurugenzi wa Taasisi ya Uwezeshaji Wajasiriamali ya Open Mind and Thoughts
Organization (OMTO), Anna Haule akizungumza wakati mkutano wa kwanza wa
mwak...
Reports: Jack Wilshere set for Arsenal return
-
Former Arsenal midfielder Jack Wilshere has held talks with the north
London side on one of its vacant academy coaching roles. Under 23 manager
Per Mertes...
YANGA ‘KUPAA’ JUMANNE KUIFUATA MWADUI FC
-
MARA baada ya mchezo wa kirafiki dhidi ya Namungo Fc kwenye uwanja wa
Majaliwa, Lindi, siku ya jumapili, Kikosi cha Young Africans Sports Club,
kitareje...
0 comments:
Post a Comment