BAO pekee la Frank Kalanda limeipa URA ushindi wa 1-0 dhidi ya Express katika mchezo wa Ligi Kuu ya Uganda jana Uwanja wa Mehta mjini Lugazi. Ushindi huo unawafanya Watoza kodi hao washinde mechi ya saba na ya tatu mfululizo, hivyo kufikisha pointi 23 na kujikita nafasi ya nne. Kwa Tai Wekundu wanashuka kwa nafasi moja hadi ya saba wakibaki na pointi zao 21 baada ya mechi 14. Mchezo mwingine jana mabingwa watetezi, KCC wamefungwa 1-0 na Lweza Uwanja wa Wankulukuku. Entebbe nayo ilishinda mechi yake ya pili jana UPL baada ya kuwachapa Rwenshama 2-1 Uwanja wa Nakivubo. Ali Adam na Hussein Mubiru walifunga mabao ya Entebbe, wakati Farouk Kalinzi aliwafungia wageni la kufutia machozi. Mabao mawili ya Umar Kasumba yameipa ushindi wa 2-0 Polisi dhidi ya Soana Uwanja wa Kavumba.
Morocco upset Argentina in Dramatic Olympics game
-
Morocco secured a wild 2-1 win over Argentina at the start of the Olympic
men’s soccer tournament on July 24 — but not before furious fans invaded
the pi...
FUFA Super8: Sam Ssimbwa to handle Select side
-
A squad of 29 players has been named to feature as Uganda Cranes Select
side in the 2024 FUFA Super 8 Tournament that kicks off on 2nd August. The
squad...
OMTO WAJA NA MAKUBWA 2024
-
Mkurugenzi wa Taasisi ya Uwezeshaji Wajasiriamali ya Open Mind and Thoughts
Organization (OMTO), Anna Haule akizungumza wakati mkutano wa kwanza wa
mwak...
Reports: Jack Wilshere set for Arsenal return
-
Former Arsenal midfielder Jack Wilshere has held talks with the north
London side on one of its vacant academy coaching roles. Under 23 manager
Per Mertes...
YANGA ‘KUPAA’ JUMANNE KUIFUATA MWADUI FC
-
MARA baada ya mchezo wa kirafiki dhidi ya Namungo Fc kwenye uwanja wa
Majaliwa, Lindi, siku ya jumapili, Kikosi cha Young Africans Sports Club,
kitareje...
0 comments:
Post a Comment