• HABARI MPYA

    Saturday, December 07, 2013

    MAN UNITED YA MOYES NI KICHWA CHA MWENDAWAZIMU

    MAMBO yamezidi kumuendea kombo kocha David Moyes Manchester United, baada ya leo pia kufungwa 1-0 na Newcastle United bao pekee la Yohan Cabaye dakika ya 61.
    Ushindi umemaliza kiu ya ushindi ya Newcastle ya miaka 41 Uwanja wa Old Trafford.
    Kipigo hicho cha pili mfululizo nyumbani katika Ligi Kuu, ambayo ni mara ya kwanza tangu mwaka 2002, kinaamisha msimu huu tayari United imefungwa mechi tano na wameambulia pointi mbili tu katika mechi zao nne zilizopita.
    Kisu cha mgongo: Yohan Cabaye akishangilia bao lake pekee lililoizamisha Man United leo
    No you don't: David Moyes keeps the ball away from Hatem Ben Arfa on the sidelines
    Haiwezekani: David Moyes akiukwepesha mpira ili Hatem Ben Arfa asiuchukue
    • Blogger Comments
    • Facebook Comments

    0 comments:

    Item Reviewed: MAN UNITED YA MOYES NI KICHWA CHA MWENDAWAZIMU Rating: 5 Reviewed By: Mahmoud Bin Zubeiry
    Scroll to Top