• HABARI MPYA

    Sunday, December 08, 2013

    ARSENAL YAPUNGUZWA KASI ENGLAND, CHEZEA EVERTON WEWE!

    ARSENAL imepunguzwa kasi katika Ligi Kuu ya England, baada ya kulazimishwa sare ya 1-1 na Everton Uwanja wa Emirates, London leo.
    Kiungo Mesut Ozil alitangulia kuifungia Arsenal dakika ya 80, lakini Gerard Deulofeu aliyetokea benchi akaisawazishia Everton dakika ya 84.
    Kikosi cha Arsenal kilikuwa: Szczesny, Jenkinson, Koscielny, Mertesacker, Gibbs, Arteta, Wilshere/Rosicky dk68, Ramsey/Flamini dk68, Ozil, Cazorla/Walcott dk68 naGiroud.
    Everton: Howard, Coleman, Distin, Jagielka, Oviedo, Pienaar/Osman dk71, Barkley/Naithsmith dk90, Barry, McCarthy, Mirallas/Deulofeu dk79 na Lukaku.

    Ndani! Mesut Ozil akiuangalia mpira alioupiga ukitinga nyavuni kuipatia Arsenal bao la kuongoza dhidi ya EvertonJoyous: Ozil's 80th minute goal looked to have given Arsenal all three points
    Ozil akishangilia bao lake la dakika ya 80
    Drama: Gerard Deulofeu celebrates scoring a stunning equaliser four minutes after Ozil's opener
    Limerudi: Gerard Deulofeu akishangilia baada ya kuifungia Everton bao la kusawazishaGathered: Tim Howard gets down to stop Santi Cazorla's weak header
    Tim Howard akienda chini kuzuia mpira wa Santi CazorlaClose! Aaron Ramsey is set clean through but is unable to poke beyond Tim Howard
    Aaron Ramsey alikosa bao la wazi ambalo Tim Howard aliokoaClose: Ramsey tried to clip the ball over Howard just before half-time but was thwarted by the American
    Ramsey akijaribu bila mafanikio kumfunga kipa HowardDink! Howard comes out to smother Olivier Giroud's effort as Arsenal got in behind the away back four
    • Blogger Comments
    • Facebook Comments

    0 comments:

    Item Reviewed: ARSENAL YAPUNGUZWA KASI ENGLAND, CHEZEA EVERTON WEWE! Rating: 5 Reviewed By: Mahmoud Bin Zubeiry
    Scroll to Top